|
Les Wanyika - Sina Makosa lyrics
hasira za nini wee bwana hasira za nini wee bwana wataka kuniua bure baba wataka kuniua bure baba yule si wako nami si wangu chuki ya nini kati yangu mimi na wewe chuki ya nini kati yangu mimi na wewe hasira za nini wee bwana hasira za nini wee bwana wataka kuniua bure baba wataka kuniua bure baba kwako hayuko kwangu hayuko chuki ya nini kati yangu mimi na wewe chuki ya nini kati yangu mimi na wewe hasira za nini wee bwana hasira za nini wee bwana wataka kuniua bure baba wataka kuniua bure baba wewe una wako nyumbani nami nina wangu nyumbani chuki ya nini kati yangu mimi na wewe chuki ya nini kati yangu mimi na wewe nasema sina makosa wee bwana sina makosa wee bwana sina makosa wee bwana sina makosa wee bwana |
|
Last added lyrics |
---|
The Dutchess by Fergie |
Call Me Irresponsible by Michael Buble |
The Rose, Vol. 2 by 2Pac |
Take Me with You by Honey Cone |
Wanna Go Back by Eddie Money |